Playing:
Diamond Platnumz - Naanzaje
Why
Diamond Platnumz
Unachezaje
Diamond Platnumz
Gimmie
Diamond Platnumz
Naanzaje
Diamond Platnumz
IYO
Diamond Platnumz
Kamata
Diamond Platnumz
Shusha
Diamond Platnumz
Waah
Diamond Platnumz
Kachiri
Diamond Platnumz
Jeje
Diamond Platnumz
Gere
Diamond Platnumz
Baba Lao
Diamond Platnumz
Kanyanga
Diamond Platnumz
Inama
Diamond Platnumz
The One
Diamond Platnumz
Baila
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz Naanzaje Lyrics
Aliumba ardhi akaumba mbingu
Akaumba mbaramwezi
Kaumba nafsi, kaumba wivu
Akayaumba na mapenzi
Na kukuacha sidhani, siwezi jaribu
Maana penzi kwa mzani, umenizidi mahabibu
Shika vyema usukani, twende taratibu
Baada ya tuta baby koleza gear
Yaani tam tam kama pipi
Nakuita sweet, ah lote lote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi? Kama lote
Vicheche nisha delete
Sitaki cheat, wa toke toke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, so kukuacha oh
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mimi hapa)
Naanzaje? Mwenzako kukuacha siwezi
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mi jamani)
Kukuacha oh, kabisa siwezi
Hadithi kuja hadithi njoo, utamu kolea
Mwezenu huba liko kwa roho, limeninogea
Vishenshuda poleni woo, mnalo wambeya
Mtaja kuumwa makwashakoo, kwa kutuongelea
Tena me kwake ndo daktari, nampa tiba halali
Wanaitaga sukari, alamba haa!
Na jana nilifunga nikasali, nikamuomba Jalali
Tuepushe madhohari, ya wanadamu
Ah ah, we mtam tam kama pipi
Nakuita sweet, ah lote lote
Fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi? Kama lote
Vicheche nisha delete
Sitaki cheat, wa toke toke
Kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, so kukuacha woo woo
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mimi hapa)
Naanzaje? Mwenzako kukuacha siwezi
Naanzaje? (Ooh mimi)
Naanzaje? (Aah mi jamani)
Kukuacha oh, kabisa siwezi
Na kukuacha sidhani
Siwezi jaribu
Maana penzi kwa mzani
Umenizidi mahabibu
Lyrics By @DJErycom